UKITAKA KUJUA
MSICHANA WA CHUO HAKUTAKI HAYA NDO MAJIBU YAO.
1. Baby tutaongea
baadaenaingia lecture
2. Jamani honey sikuweza ... kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3. Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4. Tupo discussion jamani ntakupigia baadae
5. Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6. Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho honey hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye (kwa sauti ya chini)
2. Jamani honey sikuweza ... kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3. Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4. Tupo discussion jamani ntakupigia baadae
5. Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6. Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho honey hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye (kwa sauti ya chini)
SHTUKA
MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JISONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA
HAKUTAKI!!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment